(Video) Wabunge wa Upinzani Wagomea Tena Kuapishwa Mbunge wa CUF ya Lipumba


Sekeseke ndani ya chama cha wananchi CUF, limeendelea kulitingisha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambapo kwa mara nyingine, wabunge wa upinzani wakiongozwa na Chadema, wametoka nje kugomea kuapishwa kwa mbunge mmoja aliyesalia, kati ya wabunge nane walioteuliwa na CUF ya Lipumba.

Download DJChokaUpDates Android Application Click >>> HERE 
TWITTER @DJChokaUpDates
INSTAGRAM @DJChokaUpDates
FACEBOOK FANS PAGE>>> https://www.facebook.com/djchokaupdates/

No comments

TUTUMIE UPDATES ZAKO KUPITIA
WhatsApp: +255 658 164282

Email: djchoka@gmail.com