SHILOLE "Sitakubali Uchebe aoe Mke wa Pili kwani mimi nina mapungufu gani..?"

Baaada ya Mkuu wa wilaya ya Pangani Zainab Abdallah, kushangaza watu wengi kwa kutoa pongezi kwa Mume wake baada ya kuoa mke wa Pili, Sasa Mwanamuziki Shilole yeye amesema kwamba katu hawezi kukubali Mumewe Uchebe aoe mke wa Pili hata kama dini yake inaruhusu.
SOURCE Millard Ayo
Download DJChokaUpDates Android Application Click >>> HERE
TWITTER @DJChokaUpDates
INSTAGRAM @DJChokaUpDates
FACEBOOK FANS PAGE>>> https://www.facebook.com/djchokaupdat
Post a Comment