TAZAMA DIAMOND NA MOBETO WALIVYOWASILI TENA MAHAKAMA YA KISUTU LEO

Msanii Diamond Platnumz na mwanamitindo Hamisa Mobeto, kwa mara nyingine wamefika kwenye Mahakama ya Watoto ya Kisutu, kufuatilia mwenendo wa shauri lao la malezi ya mtoto waliyezaa pamoja. Akiwa amevalia gauni jekundu na blauzi ya mistari, hamisa ndiye aliyekuwa wa kwanza kuwasili mahakamani hapo akiwa ameongozana na mwanasheria wake, baadaye akawasili Diamond aliyekuwa amevalia shati la kitenge, akiwa ameongozana na mlinzi wake pamoja na wanasheria wake na kutinga kuingia mahakamani hapo.
SOURCE Global TV Online
Download DJChokaUpDates Android Application Click >>> HERE
TWITTER @DJChokaUpDates
INSTAGRAM @DJChokaUpDates
FACEBOOK FANS PAGE>>> https://www.facebook.com/djchokaupdat
Post a Comment