PROF JAY: "Kupiga Selfie, Kula Ubwabwa na Wasanii, Mnadhani Mmewasaidia"


Mbunge wa jimbo la Mikumi kwa tiketi ya Chadema, Joseph Haule 'Profesa Jay', akichangia hoja katika mjadala wa bajeti ya wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, iliyowasilishwa bungeni hapo na Waziri mwenye dhamana, Dkt Harrison Mwakyembe. Profesa Jay amesema anasikitishwa sana na kitendo cha serikali kupora kiwanja cha mpira kilichopo katika shule ya Ruaha na kudai ni cha kwake.

Download DJChokaUpDates Android Application Click >>> HERE 
TWITTER @DJChokaUpDates
INSTAGRAM @DJChokaUpDates

No comments

TUTUMIE UPDATES ZAKO KUPITIA
WhatsApp: +255 658 164282

Email: djchoka@gmail.com