ROSA REE asaini LEBO Mpya, akabidhiwa NYUMBA ya MILIONI 400 Bongo

Msanii wa muziki wa HIP HOP Bongo, ROSA REE amepata menejimenti mpya ‘Dimo Production’ kutoka nchini Afrika kusini. Menejimenti hiyo imemkabidhi nyumba yenye dhamani ya zaidi ya Milioni 400, nyumba hiyo ipo Tanzania na nyingine Afrika Kusini.
SOURCE Bongo5
Download DJChokaUpDates Android Application Click >>> HERE
TWITTER @DJChokaUpDates
INSTAGRAM @DJChokaUpDates
FACEBOOK FANS PAGE>>> https://www.facebook.com/djchokaupdat
Post a Comment