BREAKING: UFAFANUZI KUHUSU KUPIGWA MARUFUKU VIKUNDI VYA MAZOEZI 'JOGGING'


Baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa Kikosi cha Usalama Barabarani kimepiga marufuku vikundi vya mazoezi(Jogging) vinavyotumia barabara kubwa na kuathiri matumizi mengine ya barabara - AyoTV imempata Mkuu wa kikosi hicho, Marison Mwakyoma kwenye huu ufafanuzi
SOURCE Millard Ayo

Download DJChokaUpDates Android Application Click >>> HERE 
TWITTER @DJChokaUpDates
INSTAGRAM @DJChokaUpDates

No comments

TUTUMIE UPDATES ZAKO KUPITIA
WhatsApp: +255 658 164282

Email: djchoka@gmail.com