Mwanafunzi Mwingine Auawa Kinyama

Akisimulia tukio la kutisha kwa majonzi , baba mzazi wa Marehem Shija ,Daudi Shija Kasuku alisema kuwa, usiku wa Februari 26 mwaka huu mishale ya saa4 usiku alipiga simu na mtu ambaye hakujitambulisha na kumuuliza kama yeye ndie baba wa Shija? Alimwambia yeye sio baba wa Shija bali ni mama wa Shija ndipo nalipomwambia mtoto Shija amepata matatizo akiwa Hostel Ilala na amekimbizwa hospitalini (Amana) “Tulivyopata ile taarifa tulishtuka mno tukatoka mbio mpaka hospitali ya Ilala (Amana)tuliyotajiwa na Yule mtu aliyetupa taarifa”.
SOURCE 
Global TV Online
Download DJChokaUpDates Android Application Click >>> HERE
TWITTER @DJChokaUpDates
INSTAGRAM @DJChokaUpDates
FACEBOOK FANS PAGE>>> https://www.facebook.com/djchokaupdat
Post a Comment