Goli la Azam Dhidi ya Simba Kombe la Mapinduzi

Azam FC imeitibulia Simba safari ya ushindi baada ya kuipiga kwa goli 1-0 kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi, mchezo wa Kundi A uliopigwa kwenye uwanja wa Amaan visiwani Zanzibar. Ushindi huo umeifanya Azan kupanda hadi kileleni mwa kundi hilo, ikifikisha pointi 9 ikifuartiwa na URA ya Uganda yenye pointi 7 na Simba ikibaki nafasi ya 3 ikiwa na pointi 4
SOURCE Global TV Online
Download DJChokaUpDates Android Application Click >>> HERE
TWITTER @DJChokaUpDates
INSTAGRAM @DJChokaUpDates
FACEBOOK FANS PAGE>>> https://www.facebook.com/djchokaupdat
TWITTER @DJChokaUpDates
INSTAGRAM @DJChokaUpDates
FACEBOOK FANS PAGE>>> https://www.facebook.com/djchokaupdat
Post a Comment