Wasanii wachangishana kumzika Masogange

Msanii wa muziki na filamu pamoja na wadau mbalimbali wamechangishana pesa kwaajili ya kumzika video vixen, Agnes Masogange aliyefarika Ijumaa mchana akiwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya Mama Ngoma Mwenge Dar es salaam.
SOURCE Bongo5
Download DJChokaUpDates Android Application Click >>> HERE
TWITTER @DJChokaUpDates
INSTAGRAM @DJChokaUpDates
FACEBOOK FANS PAGE>>> https://www.facebook.com/djchokaupdat
Post a Comment