Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni kuliamsha Dude Bonn, Ujerumani Siku ya Ijumaa 28 Julai 2017 Saa 2.00 Usiku
Bendi
maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka
FFU-Ughaibuni au Viumbe wa ajabu "Anunnaki Aliens" yenye makao yake
nchini
Ujerumani inatarajiwa kutumbuiza katika onyesho la wazi la
Orient-Afrika litakalo fanyika mjini Bonn,Ujrumani siku ya Ijumaa
28.Julai 2017


Post a Comment