Nuru The Light: Tanzania mtu akiachwa na mpenzi wake ni sherehe kwa wengine


Nuru The Light anaendelea na ziara ya vyombo vya habari kupromote single yake mpya iitwayo Umeniacha. Kwenye mahojiano haya anazungumzia kuhusu wimbo huo ambao ni mkasa wa kweli na kuelezea tabia ya watanzania wengine kushangilia pale mtu anapoachwa na mpenzi wake. Ameeleza pia kuhusu jinsi watu wanavyotumia vibaya mitandao ya kijamii hasa wanawake na mambo mengine

SOURCE Dizzim Online

Download DJChokaUpDates Android Application Click >>> HERE 
TWITTER @DJChokaUpDates
INSTAGRAM @DJChokaUpDates
FACEBOOK FANS PAGE>>> https://www.facebook.com/djchokaupdat

No comments

TUTUMIE UPDATES ZAKO KUPITIA
WhatsApp: +255 658 164282

Email: djchoka@gmail.com