Tumeshachoshwa, BASATA mnakurupuka kufungia wasanii - Dudubaya


Baada ya Serikali kukazia suala la maadili kwenye video za muziki wa Bongo Fleva kwa kuanza kwa kuwahoji baadhi ya Wasanii akiwemo Gigy Money. Rapa Dudubaya amesema Tatizo lipo kwa BASATA ambao ndio walezi wa muziki wetu wamekuwa wakifungia kazi za wasanii kwa kukurupuka.


Download DJChokaUpDates Android Application Click >>> HERE 
TWITTER @DJChokaUpDates
INSTAGRAM @DJChokaUpDates
FACEBOOK FANS PAGE>>> https://www.facebook.com/djchokaupdat

No comments

TUTUMIE UPDATES ZAKO KUPITIA
WhatsApp: +255 658 164282

Email: djchoka@gmail.com